Neno la Mungu
Kusambaza Neno la Mungu kwa uwazi na uaminifu kwa kila taifa.
Soma Zaidi →Lango la
... Mahali hapa panatisha kama nini!
Bila shaka, hapa ni nyumba ya Mungu,
napa ndipo lengo la mbinguni.
Kusambaza Neno la Mungu kwa uwazi na uaminifu kwa kila taifa.
Soma Zaidi →Nyumba ya maombi kwa mataifa yote. Tumtumainie Mungu pamoja.
Soma Zaidi →Kujenga ushirika wa kikristo unaoleta upendo, umoja na huduma.
Soma Zaidi →Kuwahudumia watu kwa upendo wa Kristo na kuwafikia waliopotea.
Soma Zaidi →Kufikia, kuimarisha na kupeleka Injili kwa kila kabila na taifa.
Soma Zaidi →Kuweka ufalme wa Mungu moyoni mwa watu na katika jamii.
Soma Zaidi →Gate of Heaven Church For All Nations ni huduma ya Lango la Mbinguni kwa Mataifa Yote inayolenga kuhubiri Injili, kuombea watu, kujenga familia za kiroho na kufikia mataifa kwa upendo wa Kristo.
Jumapili: 04:00 Asubuhi - 07:00 Mchana
Jumatano: 10:00 Jioni - 12:00 Jioni
Jumamosi: Prophet kuonana/kuomba na mtu mmoja mmoja



